This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday 30 August 2013

WAKO WAPI MABWANA NA MABIBI AFYA?

Nikiwa eneo moja ndani ya jiji la Mbeya nikipata chakula cha mchana katika kibanda kimoja cha chipsi na marafiki zangu. Mmoja wetu akaanzisha zogo ambalo haliku malizika mpaka nikaona niandike hii makala fupi. Jamaa aliuliza Wapo wapi mabwana na mabibi Afya?. Yawezekana jamaa alipata wazo hilo kutoka na mahali tulipokuwepo  (Kibanda cha chipsi) . Zamani mimi mwenyewe niliwashuhudia viongozi hawa muhimu wakifuatilia nyumba kwa nyumba kama kuna huduma muhimu kama choo, shimo la taka, mifereji ya maji taka nk. Lakini kwa kipindi fulani mpaka siku za hizi karibuni hawa wahudumu mbona hawaonekani wala kusikika? Wapo wapi? Vipi mbona hakuna mtu anayefuatilia usafi wa maeneo ya migahawa na vibanda vya chipsi? Mama kajifungua miezi michache na anaendelea na kazi ya MAMA LISHE au Kijana akiwa na nguo inayoacha  kwapa zake nje  anatoa huduma ya chakula. Vijijini wengi hawana vyoo au mashimo na mifereji ya maji taka. Mijini nako madampo yapo lakin taka hazipelekwi kunakohusika. WAKO WAPI MABWANA NA MABIBI AFYA? Je, wapo? au wapo wa Kichina (feki)? Au kitengo hiki cha Mabwana na Mabibi Afya Hakipo tena?

JE TUNAHITAJI ZIARA YA OBAMA ILI KUONDOA TAKA KAMA HIZI?

Tuesday 20 August 2013

KANISA KATOLIKI PAROKIA YA MAFINGA


“Bikira Maria Aliyepalizwa Mbinguni”


“JIMBO LA IRINGA”
UTANGULIZI
1.   Parokia ya Mafinga ni Parokia ya Jimbo la Iringa  upande wa Kaskasini-Kusini ya Tanzania, kwenye barabara kuu kutoka Dar Es Salaam kuenda Zambia.
2.    Parokia ya Mafinga ina umbali wa kilomita 80 kutoka Jimboni
3.    Parokia ya Mafinga inapakana na parokia zifuatazo;
       Kaskasini; Parokia ya Sadani
       Kusini; Parokia ya Mdabulo, Parokia ya Kibao
       Mashariki; Parokia ya Lyasa, Parokia ya Ulete
       Magharibi; , Parokia ya Nyololo,
4.    Parokia ya Mafinga ina wakazi 55.866
5.    Parokia ya Mafinga ina Wakatoliki 9.548
6.    Katika eneo la Parokia ya Mafinga kuna madhehebu yafuatayo;
       Waluteri, Waanglikana, Wamoravian, Kanisa la Pentekoste
7.    Parokia ya Mafinga ina vigango 17, navyo ni;
CHANGARAWE11 km
 NDOLEZI 09 km
ISALAVANU22 km
MAMBA18 km
MTULA16 km
ULOLE35 km
MATANANA32 km
IHEFU18 km
IRUNDI33 km
ITALAVANU11 km
IKONGOSI18 km
MTIRI19 km
IFWAGI27 km
IKONONGO29 km
SAO HILL12 km
ISUPIRO10 km
SAO HILL12 km
 8.  Katika Parokia nzima ya Mafinga kuna Misa 10 kila Jumapili.
- Parokiani Misa 3 (saa 1.00-Misa ya kwanza,saa 3.00-Misa ya pili, 5.15-Misa ya tatu). Wanaoshiriki Misa Parokiani kila Jumapili ni waamini takriban 3.000.
- Vigangoni Misa 7(Kama kawaida kila padre anasali Misa 2 vigangoni; Misa katika kigango cha kwanza saa 3.00, Misa katika kigango cha pili ni saa 5.00. Wanaoshiriki Misa katika vigango saba  ni takriban 1000.
- Waamini wa vigangoni wanapata Misa mara mbili kwa mwezi.
JINA LA PAROKIA
1.   Parokia ya Mafinga huko nyuma mnamo mwaka 1953 iliitwa PAROKIA YA MAKALALA kadiri ya jina la eneo lile. Mapadre Wakonsolata waliamua kuipa Parokia jina la msimamizi wake ‘BIKIRA MARIA ALIYEPALIZWA MBINGUNI’.
2.    Makabila yanayopatikana katika Parokia ya Mafinga ni kwa asilimia kubwa  WAHEHE; makabila mengine ni; Wabena, Wakinga, Wangoni, Wanyakyusa na wengineo.
3.    Kabila lenye watu wengi zaidi ni WAHEHE.