This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Friday, 30 August 2013

WAKO WAPI MABWANA NA MABIBI AFYA?

Nikiwa eneo moja ndani ya jiji la Mbeya nikipata chakula cha mchana katika kibanda kimoja cha chipsi na marafiki zangu. Mmoja wetu akaanzisha zogo ambalo haliku malizika mpaka nikaona niandike hii makala fupi. Jamaa aliuliza Wapo wapi mabwana na mabibi Afya?. Yawezekana jamaa alipata wazo hilo kutoka na mahali tulipokuwepo  (Kibanda cha chipsi) . Zamani mimi mwenyewe niliwashuhudia viongozi hawa muhimu wakifuatilia nyumba kwa nyumba...

Tuesday, 20 August 2013

KANISA KATOLIKI PAROKIA YA MAFINGA

“Bikira Maria Aliyepalizwa Mbinguni” “JIMBO LA IRINGA” UTANGULIZI 1.   Parokia ya Mafinga ni Parokia ya Jimbo la Iringa  upande wa Kaskasini-Kusini ya Tanzania, kwenye barabara kuu kutoka Dar Es Salaam kuenda Zambia. 2.    Parokia ya Mafinga ina umbali wa kilomita 80 kutoka Jimboni 3.    Parokia ya Mafinga inapakana na parokia zifuatazo;        Kaskasini; Parokia...