“Bikira Maria Aliyepalizwa Mbinguni”
“JIMBO LA IRINGA”
UTANGULIZI
1. Parokia ya Mafinga ni Parokia ya Jimbo la Iringa upande wa Kaskasini-Kusini ya Tanzania, kwenye barabara kuu kutoka Dar Es Salaam kuenda Zambia.
2. Parokia ya Mafinga ina umbali wa kilomita 80 kutoka Jimboni
3. Parokia ya Mafinga inapakana na parokia zifuatazo;
Kaskasini; Parokia ya Sadani
Kusini; Parokia ya Mdabulo, Parokia ya Kibao
Mashariki; Parokia ya Lyasa, Parokia ya Ulete
Magharibi; , Parokia ya Nyololo,
4. Parokia ya Mafinga ina wakazi 55.866
5. Parokia ya Mafinga ina Wakatoliki 9.548
6. Katika eneo la Parokia ya Mafinga kuna madhehebu yafuatayo;
Waluteri, Waanglikana, Wamoravian, Kanisa la Pentekoste
7. Parokia ya Mafinga ina vigango 17, navyo ni;
UTANGULIZI
1. Parokia ya Mafinga ni Parokia ya Jimbo la Iringa upande wa Kaskasini-Kusini ya Tanzania, kwenye barabara kuu kutoka Dar Es Salaam kuenda Zambia.
2. Parokia ya Mafinga ina umbali wa kilomita 80 kutoka Jimboni
3. Parokia ya Mafinga inapakana na parokia zifuatazo;
Kaskasini; Parokia ya Sadani
Kusini; Parokia ya Mdabulo, Parokia ya Kibao
Mashariki; Parokia ya Lyasa, Parokia ya Ulete
Magharibi; , Parokia ya Nyololo,
4. Parokia ya Mafinga ina wakazi 55.866
5. Parokia ya Mafinga ina Wakatoliki 9.548
6. Katika eneo la Parokia ya Mafinga kuna madhehebu yafuatayo;
Waluteri, Waanglikana, Wamoravian, Kanisa la Pentekoste
7. Parokia ya Mafinga ina vigango 17, navyo ni;
CHANGARAWE | 11 km |
NDOLEZI | 09 km |
ISALAVANU | 22 km |
MAMBA | 18 km |
MTULA | 16 km |
ULOLE | 35 km |
MATANANA | 32 km |
IHEFU | 18 km |
IRUNDI | 33 km |
ITALAVANU | 11 km |
IKONGOSI | 18 km |
MTIRI | 19 km |
IFWAGI | 27 km |
IKONONGO | 29 km |
SAO HILL | 12 km |
ISUPIRO | 10 km |
SAO HILL | 12 km |
8. Katika Parokia nzima ya Mafinga kuna Misa 10 kila Jumapili.
- Parokiani Misa 3 (saa 1.00-Misa ya kwanza,saa 3.00-Misa ya pili, 5.15-Misa ya tatu). Wanaoshiriki Misa Parokiani kila Jumapili ni waamini takriban 3.000.
- Vigangoni Misa 7(Kama kawaida kila padre anasali Misa 2 vigangoni; Misa katika kigango cha kwanza saa 3.00, Misa katika kigango cha pili ni saa 5.00. Wanaoshiriki Misa katika vigango saba ni takriban 1000.
- Waamini wa vigangoni wanapata Misa mara mbili kwa mwezi.
JINA LA PAROKIA
1. Parokia ya Mafinga huko nyuma mnamo mwaka 1953 iliitwa PAROKIA YA MAKALALA kadiri ya jina la eneo lile. Mapadre Wakonsolata waliamua kuipa Parokia jina la msimamizi wake ‘BIKIRA MARIA ALIYEPALIZWA MBINGUNI’.
2. Makabila yanayopatikana katika Parokia ya Mafinga ni kwa asilimia kubwa WAHEHE; makabila mengine ni; Wabena, Wakinga, Wangoni, Wanyakyusa na wengineo.
3. Kabila lenye watu wengi zaidi ni WAHEHE.- Parokiani Misa 3 (saa 1.00-Misa ya kwanza,saa 3.00-Misa ya pili, 5.15-Misa ya tatu). Wanaoshiriki Misa Parokiani kila Jumapili ni waamini takriban 3.000.
- Vigangoni Misa 7(Kama kawaida kila padre anasali Misa 2 vigangoni; Misa katika kigango cha kwanza saa 3.00, Misa katika kigango cha pili ni saa 5.00. Wanaoshiriki Misa katika vigango saba ni takriban 1000.
- Waamini wa vigangoni wanapata Misa mara mbili kwa mwezi.
JINA LA PAROKIA
1. Parokia ya Mafinga huko nyuma mnamo mwaka 1953 iliitwa PAROKIA YA MAKALALA kadiri ya jina la eneo lile. Mapadre Wakonsolata waliamua kuipa Parokia jina la msimamizi wake ‘BIKIRA MARIA ALIYEPALIZWA MBINGUNI’.
2. Makabila yanayopatikana katika Parokia ya Mafinga ni kwa asilimia kubwa WAHEHE; makabila mengine ni; Wabena, Wakinga, Wangoni, Wanyakyusa na wengineo.
0 comments:
Post a Comment